
Ni Kwa Kiasi Gani Mitaala Yetu Inawawezesha Wanafunzi Kutafakari?
Sambamba na kurudisha stadi za kazi shuleni ni muhimu sana pia kurudisha mitaala inayochochea fikra na ubunifu.

Sambamba na kurudisha stadi za kazi shuleni ni muhimu sana pia kurudisha mitaala inayochochea fikra na ubunifu.

Tanzania’s CSOs will need to find their change-making spirit and will have to do so using any means available to them.

Jioni ya Disemba 5, 2020, Katibu Mkuu Kiongozi aliujulisha umma wa Watanzania juu ya uteuzi uliofanywa na Raisi John Magufuli katika kukamilisha safu yake ya

Kati ya kujikanganya katika misimamo na kupoteza baadhi ya wanachama wake shupavu, CHADEMA imechagua la pili kujitanzua na hali iliyotishia kukipasua chama hicho cha upinzani

Opposition parties and rights activists have called on the international community to impose sanctions on Tanzania to force authorities to uphold democracy. But how likely will the global society heed this call?

Bunge la 12 limepewa jina la ‘Bunge la Kijani’ na baadhi ya wachambuzi. Ni bunge ambalo halitakuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani wala Baraza Kivuli la Mawaziri. Tutegemee nini kutoka kwa bunge hili?

Miaka 36 baada ya kifo cha Raisi wa kwanza wa Guinea Sekou Toure, bado wadadisi wanahoji je, kiongozi huyo alikuwa dikteta au mlinzi wa uhuru na mapinduzi ya Guinea?

Jumapili ya Novemba 8, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitoa taarifa kuwa vyama vyenye sifa ya kupata ubunge wa viti maalumu ni chama

Jamii yetu imejikita kuangalia viongozi kama watoa dira, kiasi cha hata kusahau au kupuuza kwamba hao viongozi nao ni sehemu ya jamii.

Jumla ya wapiga kura milioni 29.19 wamejiandikisha kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Je, watajitokeza kufanya hivyo ifikapo Octoba 28?