The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

TLS Yaomba Kutumiwa Taarifa za Vitendo vya Uvunjifu wa Haki za Binadamu, Sheria Kuanzia Oktoba 28

Katika taarifa hiyo iliyochapishwa kwenye kurasa rasmi za rasmi TLS, imeeleza kwamba wananchi watume taarifa hizo kupitia WhatsApp na namba za simu +2557778157557 au baruapepe president@tls.or.tz.

subscribe to our newsletter!

Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimewaomba wananchi kutoa taarifa ya matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu yaliyofanyika nchini kuanzia Oktoba 28, 2025 hadi sasa.

Katika taarifa hiyo iliyochapishwa kwenye kurasa rasmi za rasmi TLS, imeeleza kwamba wananchi watume taarifa hizo kupitia WhatsApp na namba za simu +2557778157557 au baruapepe president@tls.or.tz.

“Kama kuna mwananchi yeyote ana taarifa za ukiukwaji wa sheria na uvunjifu wowote wa haki za binadamu kuanzia tarehe 28 Oktoba 2025 mpaka sasa anaombwa atume taarifa hiyo,” imeeleza taarifa ya TLS.

Katika taarifa hiyo, TLS imewaomba mawakili wote nchini kutoa msaada wa kisheria kwa haraka kwa wananchi wenye uhitaji.

Taarifa hii ya TLS inakuja ikiwa vitendo mbalimbali vya uvunjivu wa haki za binadamu na sheria vimeripotiwa kufanyika kabla na baada ya siku ya kupiga kura Oktoba 29, 2025 kupelekea vifo vilivyoripotiwa maeneo mbalimbali.

Journalism in its raw form.

The Chanzo is supported by readers like you.

Support The Chanzo and get access to our amazing features.
Digital Freedom and Innovation Day
The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on Saturday April 20, 2024 at Makumbusho ya Taifa.

Register to secure your spot

Did you enjoy this article? Consider supporting us

The Chanzo is supported by readers like you.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Posts

×