Kirumba, Mwanza: Biashara ya Ngono Yafanyika Katika Eneo la Shule ya Msingi, Mabaki ya Kondomu Yazagaa
Katika uchunguzi uliofanywa na The Chanzo kwa siku tofauti uwanjani hapo majira ya asubuhi iligundua kuzagaa kwa kondomu zilizotumika katika maeneo mbalimbali kando ya uwanja huo ikiwemo viunga vya shule za msingi Kitangiri.