The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Angetile Osiah

Jamii Haina Budi Kumlinda Ladack Chassambi

Anaweza kupuuzia kelele za baadhi ya maofisa wa Yanga na mashabiki kushangilia kosa lake, lakini ni vigumu kwake kustahimili kelele za mashabiki na wanachama wa klabu yake.

×