Waliovurunda ‘Dabi ya Kariakoo’ Walazimishwe Kuomba Radhi Hadharani
Wenzetu wanatunga sheria zaidi ili kulinda mashabiki ambao ndio nguzo kubwa ya michezo duniani, lakini huku watu wanatoa taarifa ya kuahirisha mechi kiholela bila ya kuonyesha kujali athari ambazo mashabiki wamezipata