
Tukienda Kufurahia Mbuzi Choma Msalato, Tukumbuke Pia Kuhimiza Uwekezaji Kwenye Afya ya Mifugo
Ugonjwa wa wanyama siyo tu unahatarisha afya na maisha ya Watanzania, bali pia chumi zao zinazotegemea uuzwaji wa mazao ya wanyama hao.

Ugonjwa wa wanyama siyo tu unahatarisha afya na maisha ya Watanzania, bali pia chumi zao zinazotegemea uuzwaji wa mazao ya wanyama hao.

Je, unatambua kwamba wanyama tunaofuga ni chanzo cha magonjwa ya kuambukiza kwa binadamu?

Ni dhana inayotambua uhusiano na mwingiliano uliopo kati ya binadamu, wanyama, mimea na mazingira yao. Husaidia kwenye kinga dhidi ya magonjwa.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved