Ushauri Watolewa kwa Wanawake Wajasiriamali Mtandaoni

Mbali na kukumbana na changamoto mbalimbali, wajasiriamali wanaotumia mitandao kufanya shughuli zao ambao The Chanzo imeongea nao walikiri kwamba mitandao ya kijamii imekuwa mkombozi kwao kwani inawasaidia kuendesha maisha yao kiurahisi.
Kwa Nini Wanasiasa Wanawake Wanaikimbia Mitandao ya Kijamii?

Matokeo ya utafiti wa hivi karibuni yanabainisha kwamba hali hiyo inatokana na kushamiri kwa vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wanasiasa wanawake kwenye majukwaa hayo ya mijadala na muingiliano wa kijamii.
Why Binti on Netflix Speak to Many of Us

The story speaks softly and closely to our hearts, letting us know that we are not alone.