Mchumi Jeffrey Sachs Anavyouchambua Umasikini Kwenye ‘The End of Poverty’
Nikiri kuwa ni kitabu kizuri kuanzia muundo na maudhui yake; mwandishi, kama mshauri-elekezi mzoefu katika suala zima la uchumi na sera zake, amekitendea haki na itifaki.
Nikiri kuwa ni kitabu kizuri kuanzia muundo na maudhui yake; mwandishi, kama mshauri-elekezi mzoefu katika suala zima la uchumi na sera zake, amekitendea haki na itifaki.
Riwaya hii imeandikwa katika dhana ya anthropomofiki, yaani sifa, hisia na hulka za binadamu zimefanywa na kutekelezwa na wanyama, ili kusawiri mapinduzi ya kiutawala yaliyofanyika huko Urusi miaka ya 1917.
Kitabu cha Paulo Freire, Pedagogy of the Oppressed, kinaweza kutusaidia kulifahamu tatizo linalotukabili kama Watanzania, na namna ya kulitatua.
Watanzania tuna wajibu, kama raia wa taifa hili ambayo hatma yake iko mikononi mwetu, wa kukataa mazingira yeyote ya kuabudu watawala na kuogopana.
Ni dhahiri, katika sherehe ya Krisimasi, tunaadhimisha upendo wa Mungu kwa waja wake na viumbe vyake.
Uzalendo leo umekuwa ni kuimba mapambio ya watawala, ni uchawa na unafiki fulani tu.
Kushindwa kwetu katika michezo kunatokana na kushindwa kuoanisha tamaduni zetu na maendeleo tunayoyataka.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved