Author: Jofrey Cosmas

Changamoto za Upatikanaji Vifaa Yakwamisha Kukamilika Kwa Mradi wa Fedha za Tozo

Awamu ya kwanza ya ujenzi wa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya kata ya Idetemya iliyopo Misungwi mkoani Mwanza ilitegemewa kukamilika Januari 10,2022, lakini kutokana na changamoto za upatikanaji wa vifaa vya ujenzi mradi huo utakamilika Februari 28,2022. Mradi huo unagharimikiwa na fedha za tozo ya miamala ya simu