Kufungiwa kwa JamiiForums: Hatufanyi Hii Kazi kwa Sababu ni Rahisi, Bali kwa Sababu ni Muhimu
Ndiyo maana mshikamano, na kufanya kazi kwa pamoja, ni muhimu kwenye juhudi zetu za kupigania taifa tunalolitaka.
Ndiyo maana mshikamano, na kufanya kazi kwa pamoja, ni muhimu kwenye juhudi zetu za kupigania taifa tunalolitaka.
Mafanikio ya haraka ya kifedha huwasukuma wasanii wengi kupoteza mguso na uhalisia wa jamii wanazotoka. Wengi hupotea wakijaribu kukabiliana na suala hilo, tunaweza kumnusuru Diamond na hatma hiyo.
Haitusaidii wananchi kuchukua hatua zinazoweza kuwaongezea nguvu wakandamizaji wetu pale nguvu hizo zinapotumika dhidi ya watu wa tabaka letu.
Tukuze uchumi ndiyo, lakini tuhakikishe ukuaji huo hautokei katika namna inayoathiri maslahi ya watu walewale ambao nguvu na jasho lao ndiyo zinategemewa kujenga nchi.
If NATO means fewer Ukrainians in graves, why wouldn’t Kyiv pursue membership?
Our power lies not in waiting for perfect circumstances, but in persistently expanding the space we have.
When state authorities behave in an outright violent manner without any accountability, it sets a very dangerous precedent for community members who may perceive violence as a normal thing to apply given particular circumstances.
Opposition parties CHADEMA and ACT-Wazalendo have already complained that authorities across the country have “baselessly” disqualified thousands of their candidates for the November 27 local government elections, a precursor of what’s to come in 2025.
CHADEMA wamefanikiwa kutuma ujumbe kwamba Serikali inayotumia jina la Watanzania kuhalalisha maamuzi yake mbalimbali, kimsingi, haijali maslahi ya Watanzania.
Maendeleo yataacha kuwa ya watu kama upatikanaji wake utawaacha wengine bila makazi au ardhi za kilimo, huku fidia zao zikicheleweshwa.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved