Tubadilishe Mitaala Ndiyo, Lakini Siyo Kwa Lengo la Kuwafanya Wahitimu Waajirike Tu
Kwanza, siyo kazi ya walipakodi kumtengenezea mwajiri waajiri wanaokidhi sifa anazozitaka!
Kwanza, siyo kazi ya walipakodi kumtengenezea mwajiri waajiri wanaokidhi sifa anazozitaka!
Katika mazingira ambapo hakuna mtu hata mmoja aliyetiwa nguvuni mpaka sasa kutokana na vitendo hivyo, tunaanzaje kuacha kuwawajibisha polisi, tunaoaminishwa kwamba wapo kwa ajili ya usalama wetu?
Kuharibu biashara za wananchi ili kupendezesha mji, na kuwafukuza wananchi kutoka kwenye ardhi zao kupisha upanuzi wa hifadhi za taifa ni vita dhidi ya masikini inayopaswa kupingwa na kila Mtanzania.
Watu wanaotaka X ifungwe wangebomoa nyumba ili kumtoa mende aliyekimbilia uvunguni mwa kitanda!
Jinamizi la ajali za barabarani linaloendelea kuitafuna Tanzania na kuwaacha wananchi wake kwenye misiba, majonzi, na simanzi zisizoisha limenifanya nitakari kwa muda juu ya ni
Tukisema tusubiri mpaka mambo yawe kama vile tunavyoyatamani inaweza kutuchukua karne mpaka tuweze kutimiza wajibu wetu wa kiraia, au pengine tusiweze kufanya hivyo milele.
Kama kweli tunadhani ugatuzi wa madaraka ni muhimu kwa maendeleo ya watu wetu, basi ni muhimu tuwaruhusu wachague viongozi wao, badala ya kuwaacha waendelee kutawaliwa kwa niaba ya rais.
Kumuwajibisha mwandishi, badala ya chombo chake, baada ya kugundulika kukiuka maadili au sheria za nchi, hakusaidii, kwa namna yoyote ile, kukuza uhuru wa habari Tanzania.
Tunahitaji kuwa na vyombo huru vya habari ili wananchi waweze kushiriki kikamilifu kwenye uendeshwaji wa nchi yao na kuuishi u-jamhuri wao.
Siasa za vyama vya upinzani zenye kuashiria chuki dhidi ya kikundi fulani cha wananchi ni zawadi kwa CCM inayoiwezesha kuendelea kubaki madarakani.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved