Russia’s War Won’t Kill Ukraine’s NATO Dreams—It’s Fueling Them
If NATO means fewer Ukrainians in graves, why wouldn’t Kyiv pursue membership?
If NATO means fewer Ukrainians in graves, why wouldn’t Kyiv pursue membership?
Our power lies not in waiting for perfect circumstances, but in persistently expanding the space we have.
When state authorities behave in an outright violent manner without any accountability, it sets a very dangerous precedent for community members who may perceive violence as a normal thing to apply given particular circumstances.
Opposition parties CHADEMA and ACT-Wazalendo have already complained that authorities across the country have “baselessly” disqualified thousands of their candidates for the November 27 local government elections, a precursor of what’s to come in 2025.
CHADEMA wamefanikiwa kutuma ujumbe kwamba Serikali inayotumia jina la Watanzania kuhalalisha maamuzi yake mbalimbali, kimsingi, haijali maslahi ya Watanzania.
Maendeleo yataacha kuwa ya watu kama upatikanaji wake utawaacha wengine bila makazi au ardhi za kilimo, huku fidia zao zikicheleweshwa.
Tunapaswa kuhakikisha kwamba kila uwekezaji tunaofanya kama walipa kodi unaleta tija tunayoitarajia, ambayo ni kuifanya Tanzania kuwa bora zaidi ilivyo sasa.
Kwanza, siyo kazi ya walipakodi kumtengenezea mwajiri waajiri wanaokidhi sifa anazozitaka!
Katika mazingira ambapo hakuna mtu hata mmoja aliyetiwa nguvuni mpaka sasa kutokana na vitendo hivyo, tunaanzaje kuacha kuwawajibisha polisi, tunaoaminishwa kwamba wapo kwa ajili ya usalama wetu?
Kuharibu biashara za wananchi ili kupendezesha mji, na kuwafukuza wananchi kutoka kwenye ardhi zao kupisha upanuzi wa hifadhi za taifa ni vita dhidi ya masikini inayopaswa kupingwa na kila Mtanzania.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved