Mashirika ya Umma Yanayotengeneza Hasara Yamilikishwe kwa Wafanyakazi Wao
Hii inaweza kuwa njia imara ya kufanikisha lile ambalo Serikali imeshindwa kulifanikisha mpaka sasa: kusimamia uwajibikaji kwenye mashirika haya na kuyafanya yazalishe faida badala ya hasara.