HomeAuthor

Tubulu Nebasi, Author at The Chanzo

Ukiukwaji wa Haki ya Ardhi kwa Wenyeji wa Ngorongoro Umekuwa Kero

Ukiachilia ufugaji ambao ndiyo umekuwa nguzo kubwa na kitega uchumi kwa Wamaasai na wenyeji wa Ngorongoro walio wengi, kabla ya mwaka 2009 Wamaasai walikuwa pia wakijihusisha na kilimo cha kujikimu. Mwaka 2009, hata hivyo, Serikali Rais Jakaya Mrisho Kikwete iliondoa kilimo cha kujikimu katika Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro (NCA), jambo ambalo limepelekea kushamiri kwa janga la njaa katika eneo hilo. Serikali, kwa kutokujali wenyeji wa eneo, ilishindwa kuweka njia mbadala na thabiti ambazo zingewawezesha...

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

Subscribe to Our Newsletter

The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved