Ukiukwaji wa Haki ya Ardhi kwa Wenyeji wa Ngorongoro Umekuwa Kero 31 May 2022 Ukiachilia ufugaji ambao ndiyo umekuwa nguzo kubwa na kitega uchumi kwa Wamaasai na wenyeji wa Ngorongoro walio wengi, kabla ya mwaka 2009 Wamaasai walikuwa pia