
Kwa Nini Angela Kizigha, James Millya na Ng’waru Magembe Wanapaswa Kujiuzulu Ubunge EALA Kuepusha Kuendelea Kuvunja Mkataba wa Jumuiya
Uwepo wa Wabunge hao unavunja Ibara ya 51(2)(c) ya Mkataba wa Jumuiya unaoeleza kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge wa Jumuiya endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa bunge la nchi mwanachama.