
Elections 2020: How Likely Will Tanzania Shut Down The Internet?
“More than once we have heard government officials complaining that social media are being used to spread ‘fake news.'”

“More than once we have heard government officials complaining that social media are being used to spread ‘fake news.'”

Tanzania inatajwa kutokuwa vizuri kwenye eneo la haki na usalama wa kimtandao. Serikali na makampuni ya simu ni wadau wawili wakuu wanaotupiwa lawama kwa hali ambayo Tanzania inajikuta kwa sasa kwenye eneo hilo.