
Namna Serikali Inavyoweza Kutumia Leseni za Kidigitali Kuwezesha Biashara za Mtandaoni
Leseni za kidigitali zinaweza kutolewa kwa kutumia kimbulisho cha NIDA na namba za simu rasmi za mteja husika. Inawezekana kabisa mfanyabiashara huyu mdogo akapata leseni na mtu akitaka kuthibitisha uhalali wake anaweza kwenda kwenye kanzidata maalum ya kuthibitisha leseni ya mfanyabiashara husika








