
Here Is Why It Is Hard to Invest in Tech Startups In Tanzania
Having a mechanism in place that removes bureaucratic processes and at the same time creates regulatory certainty will be a good idea. Introducing Sandboxes can be the starting point.

Having a mechanism in place that removes bureaucratic processes and at the same time creates regulatory certainty will be a good idea. Introducing Sandboxes can be the starting point.

The project, which targets 35 NGOs, focuses on four areas of concern: incubation; collaboration; capacity building; and resources.

Wadau wanakubaliana juu ya haja ya kuendelea kupigania mabadiliko kwenye sekta ya haki za kidijitali nchini ili watu wenye ulemavu waweze kunufaika na haki hizo.

On Thursday 14th April 2022, Uber suspended its Uber X, XL, and X Saver services in Tanzania citing an unfriendly business environment caused by the transport sector regulation

Pamoja na faida nyengine, mfumo huo unategemewa kurahisisha utambuzi wa wakazi na makazi katika ili kurahisisha mchakato wa kupeleka maendeleo kwa wananchi.

Mamlaka hiyo yenye jukumu la kusimamia maudhui kwenye mitandao ya kijamii imetoa wito huo katikati ya maoni ya wadau wanaolalamikia kuongezeka kwa vitendo vya udhalilishaji wanawake kwenye mitandao hiyo.

SmartClass is an online platform that connects learners or students to qualified and certified private tutors or experts both online and offline by capitalizing on big data analytics and using advanced algorithmic matching between students and tutors.

If NSO is to be held responsible for how Pegasus is used, should knife makers be made responsible for how knives are used also?

Mbali na kukumbana na changamoto mbalimbali, wajasiriamali wanaotumia mitandao kufanya shughuli zao ambao The Chanzo imeongea nao walikiri kwamba mitandao ya kijamii imekuwa mkombozi kwao kwani inawasaidia kuendesha maisha yao kiurahisi.

Mfumo huo ambao ulizunduliwa rasmi mnamo Februari 27, 2021, ulilenga kumsogeza Rais Mwinyi karibu zaidi kwa wananchi ili aweze kusikia moja kwa moja kutoka kwao kero zinazowasumbua na hivyo kuzitafutia ufumbuzi wake.