Yaliyowapatanisha, Kuwafarakanisha Serikali, Upinzani 2023
Baadhi ya hayo ni kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara pamoja na suala la uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam.
Baadhi ya hayo ni kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara pamoja na suala la uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam.
Mkapa, who died on July 23, 2020, would have turned 85 years today, November 12, 2023.
The archive will provide a window into history through the eyes of the decorated and longtime diplomat.
Rais Samia hakatazwi kufanya mabadiliko, ila anahitaji kuanzisha mwendelezo kwenye Baraza la Mawaziri utakaoleta unyoofu Serikalini.
Ni muhimu kwa watatu hao wazungumze namna bora Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu watakavyofanya kazi bila migongano.
Kwenye mabadiliko hayo, Jerry Slaa anakuwa mjumbe mpya kabisa kwenye Baraza la Mawaziri, huku Angeline Mabula akitupwa nje.
Critics point out that the recommendations are yet to be implemented because Tanzania has leaders who do not listen to their people’s views.
Lipo kwa kuachiwa huru kwa Mbowe na uteuzi wa Faiza kama Mkurugenzi wa ZEC
The ‘silent majority’ exists and operates in the shadows, moving the levers of Tanzania’s political system shrewdly behind the scenes in a manner that makes half-cooked opposition politicians baulk and run for their lives.
Katika makala hii, Mbunge wa Ubungo (CCM) Profesa Kitila Mkumbo anarejea mchango wa Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania kwa kuainisha pale Magufuli alipoikuta Tanzania na alipoiacha wakati anafariki, na hivyo kujenga msingi wa kuelewa Tanzania inapoelekea chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved