Rais Samia, Majaliwa, na Biteko Wanahitaji Chemba ya Watatu
Ni muhimu kwa watatu hao wazungumze namna bora Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu watakavyofanya kazi bila migongano.
Ni muhimu kwa watatu hao wazungumze namna bora Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu watakavyofanya kazi bila migongano.

Kwenye mabadiliko hayo, Jerry Slaa anakuwa mjumbe mpya kabisa kwenye Baraza la Mawaziri, huku Angeline Mabula akitupwa nje.

Critics point out that the recommendations are yet to be implemented because Tanzania has leaders who do not listen to their people’s views.

Lipo kwa kuachiwa huru kwa Mbowe na uteuzi wa Faiza kama Mkurugenzi wa ZEC

The ‘silent majority’ exists and operates in the shadows, moving the levers of Tanzania’s political system shrewdly behind the scenes in a manner that makes half-cooked opposition politicians baulk and run for their lives.

Katika makala hii, Mbunge wa Ubungo (CCM) Profesa Kitila Mkumbo anarejea mchango wa Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania kwa kuainisha pale Magufuli alipoikuta Tanzania na alipoiacha wakati anafariki, na hivyo kujenga msingi wa kuelewa Tanzania inapoelekea chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Mfumo huo wa utoaji stakabadhi umeanza utekelezaji kwenye mwaka unaendelea wa fedha wa 2021/2022 hapo Julai 1, 2021, na kuja kupata umaarufu zaid mwanzoni mwa mwezi Februari 2022 baada ya mamlaka husika kuanza ufuatiliaji wa kuhakikisha wafanyabiashara wanatumia mfumo huo.

Mwandishi huyo na mshauri wa siku nyingi wa masuala ya habari anasema bila ya Serikali kuwa na uvumilivu ni vigumu kupata sheria na kanuni rafiki kwa waandishi wa habari na vyombo vyao vya habari

The foundation seeks to preserve the statesman’s contribution towards reconciliatory politics in Tanzania.

Dk Bagonza anataja sababu tatu kwa nini anaamini viongozi wa dini Tanzania wameshindwa kutimiza ipasavyo wajibu wao wa kupigania taifa la haki nchini.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved