Ally Saleh: Usiku wa Dk Mwinyi Utakuwa Mrefu Sana
Dk Mwinyi alisema anataka apate ushindi ambao hauna mabishano. Ukweli ni kwamba ushindi wake wa asilimia 76 una mabishano makubwa na utaendelea kuwa na mabishano.
Dk Mwinyi alisema anataka apate ushindi ambao hauna mabishano. Ukweli ni kwamba ushindi wake wa asilimia 76 una mabishano makubwa na utaendelea kuwa na mabishano.
Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa ni upigwaji wa Kura ya Mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho.
Bunge la 12 limepewa jina la ‘Bunge la Kijani’ na baadhi ya wachambuzi. Ni bunge ambalo halitakuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani wala Baraza Kivuli la Mawaziri. Tutegemee nini kutoka kwa bunge hili?
Jumapili ya Novemba 8, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitoa taarifa kuwa vyama vyenye sifa ya kupata ubunge wa viti maalumu ni chama
The marriage between ACT-Wazalendo and Mr Membe seems to be short-lived, but how did it start?
Jumla ya wapiga kura milioni 29.19 wamejiandikisha kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Je, watajitokeza kufanya hivyo ifikapo Octoba 28?
Billboards, posters, and other creatives, this is the look of major cities in Tanzania. It’s election time. Unlike the 2015 election, however, this time we see the prominence of the ruling Chama cha Mapinduzi’s (CCCM) adverts; it’s all green and yellow in every corner of Tanzania.
Dar es Salaam. Tanzanians on the digital platform Twitter have rallied against what they see as the Office of Party Registrar’s ‘double-standards’ on the issue of inter-party cooperation.
More women have been nominated by political parties to contest for constituency seats in the upcoming 2020 general elections than in any other election in the history of Tanzania’s multiparty politics, The Chanzo analysis has revealed.
If it was ever thought that all the misgivings directed to her side would derail her agenda for justice, then Fatma Karume surely proved her doubters and bad wishers miserably wrong.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved