
Tanzania’s ACT Wazalendo Petitions Court to Reinstate Its Nullified Presidential Candidate
ACT Wazalendo accuses INEC of violating democratic principles, constitutional rights, and electoral integrity through arbitrary administrative actions.

ACT Wazalendo accuses INEC of violating democratic principles, constitutional rights, and electoral integrity through arbitrary administrative actions.

Presented with identical complaints from both an opposition and a ruling party member, the Registrar’s Office was tested on its impartiality—a test many believe it failed.

In an exclusive interview with The Chanzo, a senior CHADEMA leader clarifies the critical difference between leading a movement for change and the act of boycotting an election.

Mahakama imetupilia mbali malalamiko hayo kwa makosa yaliyo onekana kwenye hati ya kiapo pamoja na hoja ya mlalamikaji hakupita katika ngazi stahiki za CCM kulalamika

The petition was dismissed for failing to exhaust internal party remedies and for defects in the affidavit submitted by the petitioner

Many say the system is good and should remain, while calling for the shortcomings facing it to be corrected so that it can benefit them more effectively.

Wengi wanasema mfumo huo ni mzuri unaopaswa kubaki, wakitoa wito kwa kasoro zinazoukabili kurekebishwa ili uweze kunufaisha vizuri zaidi.

Sehemu kubwa ya viongozi hao wa dini walionesha kupendezwa na utendaji wa Rais Samia kama sababu ya kummuunga mkono kuelekea uchaguzi unaokuja.

Many of the religious leaders who spoke at the conference expressed their satisfaction with the performance of President Samia’s administration, highlighting this as their main reason for supporting her as a candidate.

Rais Samia ameeleza wako walio nje ya nchi na ndani ya nchi wanaotaka kutumia kupanda kwa joto la kisiasa kuleta mivurugano katika jamii