
Mahakama Yatupilia Mbali Maombi ya Kupinga Kanuni za Maadili ya Uchaguzi Yasema Wananchi waliopeleka Maombi Hawahusiki ni Majirani tu Katika Mchakato
Katika maamuzi yake Mahakama ilieleza kuwa waleta maombi hawajaweza kuishawishi Mahakama kuwa wana msalahi ya kutosha katika kanuni hizo, Mahakama ikieleza kuwa waleta maombi ni majirani tu na sio wenye haki ya kushitaki dhidi ya kanuni.







