
Kwa Nini Nchi Zingine za Afrika Hazijiungi na Muungano wa Tanzania Kama Ilivyokuwa Lengo la Awali?
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.

Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.

Hatua ya familia ya Salim Ahmed Salim kuweka hadharani nyaraka zinazowasaidia Watanzania kuifahamu historia yao ni ya kupongezwa na kutiwa moyo.

Pamoja na ufasaha wa lugha na lafudhi nzuri, Hayati Mwinyi anatajwa kuwa mwandishi mzuri anayejua kuzingatia taratibu za uandishi, mantiki ya tungo, mpangilio wa maneno, sentesi na vifungu vya habari.

Tunaweza kabisa kumpa maua yake Hayati Ali Hassan Mwinyi kama Baba wa Mageuzi nchini. Hajapewa hii heshima yake vya kutosha.

Mwinyi anasema kwamba uamuzi huo ulimjengea heshima Serikalini na kwenye jamii pia.

Mwinyi, aliyeaga dunia Februari 29, alikuwa tayari kusalimisha wadhifa wake wa uwaziri kutokana na uzembe wa wengine, na aligoma kugombea urais wa nchi, akiridhika kikamilifu na cheo chake cha urais wa Zanzibar.

Baadhi ya hayo ni kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara pamoja na suala la uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam.

Mkapa, who died on July 23, 2020, would have turned 85 years today, November 12, 2023.

The archive will provide a window into history through the eyes of the decorated and longtime diplomat.

Rais Samia hakatazwi kufanya mabadiliko, ila anahitaji kuanzisha mwendelezo kwenye Baraza la Mawaziri utakaoleta unyoofu Serikalini.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved