
Kwa Kuifokea Yanga, Karia Ameonesha Upande Kwenye Sakata Kati ya Klabu Hiyo na Simba
Tulitegemea kiongozi wa juu wa kariba yake, atulie wakati huu mgogoro haujaisha ili juhudi za kuumaliza zifanyike na mambo hayo ya kuahirisha mechi hivyo yafikishwe mwisho.