
Wasilisho Kamili la Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman la Ripoti Kuhusu Matukio ya Oktoba 29, 2025, Alilolitoa Mbele ya Rais Samia Aprili 23, 2026
Rais ameishukuru Tume kwa kukamilisha kazi hiyo muhimu, akibainisha hatua kadhaa Serikali yake inapanga kuchukua kutekeleza mapendekezo yake.








