Thirteen Arrested in Zanzibar in Connection With Child Sex Trafficking Reports
But police dismiss reports that an organised network undertakes these practices, blaming them on poor upbringing instead.
But police dismiss reports that an organised network undertakes these practices, blaming them on poor upbringing instead.
They seek to disrupt a secretive criminal ring that lures runaway boys under the age of eighteen and forces them into prostitution.
Saleh, gwiji la utangazaji kutoka Zanzibar, anasema amedhamiria kuyanyoosha yote yaliyopinda kwenye jamii kupitia uandishi wake.
Zabuni kadhaa, zikiwemo za kuendesha bandari na viwanja vya ndege, zimetolewa kinyume na sheria ya manunuzi ya umma ya Zanzibar.
Tamasha hilo la kwanza na la aina yake lilivutia zaidi ya watu 1,500 kutoka ndani na nje ya nchi.
Kijana huyo anadaiwa kupigwa na maafisa wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hadi kupoteza maisha.
Women are unfairly represented in political and democratic leadership in Zanzibar, representing only 38 per cent of the House of Representatives.
Wananchi wameahidi kutoondoka kwenye eneo hilo bila fidia ambayo Serikali imegoma kulipa, ikisema haiwezi kulipa fidia kwa wavamizi.
Wanawake wanaamini kwamba umiliki wa ardhi kisheria utawasaidia katika jitihada zao za kukabiliana na ukatili wa kijinsia unaotajwa kutamalaki visiwani humo.
It follows a meeting between the WHO Country Representative and Zanzibar’s Minister of Health.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved