The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search Results for: muungano – Page 3

Vigogo Sita Hawatakuwa na Mpinzani Kura za Maoni CCM Majimboni

Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa(NEC) ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ametoa orodha ya majina ya wana CCM waliopita kwenye mchujo wa Kamati Kuu kwa ajili ya kwenda kupigiwa kura za maoni majimboni kwenye mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishhi wa chama hiko kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Ni Rasmi, Waamuzi Wetu Tanzania Hawaaminiki

Hadi leo si TFF wala Bodi ya Ligi iliyoonyesha kuchukizwa na uamuzi mbovu uliotawala msimu mzima wa 2024/25 na waamuzi wanaongezeka kiburi kwa kuwa wanaona hatua hazichukuliwi.

×