
Zanzibar Sets October 29 Election Date, Keeps Disputed Two-Tier Voting System Despite Opposition Outcry
Zanzibar’s retention of early voting deals a blow to opposition demands for electoral reform.

Zanzibar’s retention of early voting deals a blow to opposition demands for electoral reform.

Kama wanawake, tunahitaji kufikiria na kutafakari upya taasisi ya ndoa, na ikiwezekana kuibadilisha kwa kuongozwa na uzoefu wa mama na bibi zetu.

Polisi wameeleza kuwa tayari wameweka mikakati ya kujiandaa na uchaguzi na kuhakikisha serikali inaingia madarakani bila kikwazo chochote

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Rais Samia, aliyeingia madarakani hapo Machi 19, 2021, kushiriki kwenye kinyang’anyiro cha Urais kama mgombea kwani mara zote alizoshiriki – alifanya hivyo akiwa mgombea mwenza wa hayati Rais Magufuli.

Kati ya wajumbe 357 waliohudhuria mkutano huo waliopiga kura walikuwa 340 ambapo Mwalimu alipata kura 336 za ndio na kura 4 za hapana. Huku Devotha Minja yeye alipata kura 335 za ndio huku kura za hapana zikiwa 6.

Katika wabunge walioangukia pua katika mchakato huo wa kura za maoni, wapo wabunge wakongwe waliokaa bungeni kwa zaidi ya miaka 20, lakini pia wapo wabunge ambao wamehudumu kwa kipindi cha muhula mmoja tu. Lakini kubwa zaidi ni zaidi ya Naibu Mawaziri saba wameangushwa na kuachwa mbali kwa kura kwenye majimbo yao.

Katika mchakato huu imeshuhudiwa wabunge wawili wa sasa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakibwaga na wajumbe kwenye kura zilizopigwa.

Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa(NEC) ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ametoa orodha ya majina ya wana CCM waliopita kwenye mchujo wa Kamati Kuu kwa ajili ya kwenda kupigiwa kura za maoni majimboni kwenye mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishhi wa chama hiko kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Zoezi la utoaji fomu litakuwa kati ya Agosti 14, 2025 hadi Agosti 27, 2025 na Agosti 28, 2025, kipenga cha kampeni kikipulizwa.

Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi jijini Dodoma, Julai 17, 2025 amesema ni wakati sasa wa kubadili mtizamo wa namna tunavyofanya kazi na kupimana.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved