
Nation Debates Tanzanian Vice President’s Call to ‘Fight for the New Constitution’
A rare reformist appeal from within the ruling party has turned the spotlight on CCM itself, as loyalists move to check Nchimbi

A rare reformist appeal from within the ruling party has turned the spotlight on CCM itself, as loyalists move to check Nchimbi

Jambo muhimu zaidi litakuwa jitihada katika masuala ya haki, mageuzi ya kitaasisi, na utawala bora.

Kisheria alichoandika Msajili sio moja ya sababu inayoweza kufanya chama cha siasa kufutwa au usajili kusitishwa

Rais ameishukuru Tume kwa kukamilisha kazi hiyo muhimu, akibainisha hatua kadhaa Serikali yake inapanga kuchukua kutekeleza mapendekezo yake.

Rais ameishukuru Tume kwa kukamilisha kazi hiyo muhimu, akibainisha hatua kadhaa Serikali yake inapanga kuchukua kutekeleza mapendekezo yake.

Serikali imeeleza kuwa Ubunge EALA ulikoma baada ya kuteuliwa

Uwepo wa Wabunge hao unavunja Ibara ya 51(2)(c) ya Mkataba wa Jumuiya unaoeleza kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge wa Jumuiya endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa bunge la nchi mwanachama.

Wanawake hao wamezuiwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo Morogoro, Pwani na Geita

Dkt Mahfoudh anakuwa mwanamke wa tatu kushika wadhifa wa Naibu Gavana katika historia ya BOT, ambapo uteuzi wake umefuata uteuzi wa Sauda Msemo aliyeteuliwa na Rais Samia kuwa Naibu Gavana mnamo Juni 01, 2022.

Utenguzi huu wa Simbachawene unaonesha panda shuka yake katika safari ya kisiasa hususani katika nafasi ya Uwaziri. Kwani kwa nyakati tofauti amewahi kuondolewa kwenye Barazala Mawaziri na kisha kurejeshwa tena.