
Wadau Waingiwa Hofu Kuelekea Uchaguzi 2024, 2025
Sababu ni ufinyu wa mapendekezo ya wadau yaliyoanishwa kwenye sheria za uchaguzi, CCM yasema mabadiliko hayajafika kikomo.
Sababu ni ufinyu wa mapendekezo ya wadau yaliyoanishwa kwenye sheria za uchaguzi, CCM yasema mabadiliko hayajafika kikomo.
Moja ya jambo ambalo linaonekana katika bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2024/25 ni kuwa bajeti hii imepungua kwa kiasi kikubwa, kwa takribani asilimia 38, hii ikiwa ni baada ya miaka minne ya bajeti kuongezeka.
Ushahidi unaonesha kwamba adhabu ya viboko, makofi na nyingine kama hizo hazimsaidii mtoto. Badale yake, hupunguza tu hasira alizonazo mzazi juu ya kosa la mtoto.
Siasa za vyama vya upinzani zenye kuashiria chuki dhidi ya kikundi fulani cha wananchi ni zawadi kwa CCM inayoiwezesha kuendelea kubaki madarakani.
Tukiiandikia Sekretarieti kwa uwingi wetu tutawaamsha hata waliolala; Tutapiga kelele na kupata matokeo bila kutumia nguvu au kuumizwa.
Utafiti mpya unaweka wazi kwamba mwenendo wa polepole, au wa kusitasita, pekee hautatosha kuilinda Tanzania dhidi ya kurudi kwa sera umizi ya kujitenga ya kiongozi wake aliyepita.
Opinions about the historic event remain sharply divided among people from the two parts of the country.
If Tanzania were to become a confederation between Tanganyika and Zanzibar, it would likely face most of the same challenges that led to the fall of Senegambia.
Ni ngumu sana kwa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye juhudi za maendeleo ya taifa kama hakutakuwepo na tumaini linaloeleweka kwao vizuri.
In our briefing today: Tanzania inches closer to becoming Africa’s critical minerals hub with new refinery license to Lifezone Metals; Tanzania plans high-resolution survey to 30 percent of it’s land to boost mining ; Foregrounding human dignity is key to protecting indigenous peoples’ rights in protected areas;
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved