
Matukio ya Mauaji Yawasukuma Wakazi wa Mkonze, Dodoma Kushinikiza Kujengewa Kituo cha Polisi
Kata hiyo yenye wakazi 45,000 imeshuhudia matukio ya mauaji takribani sita ndani ya mwaka huu.

Kata hiyo yenye wakazi 45,000 imeshuhudia matukio ya mauaji takribani sita ndani ya mwaka huu.

Tunakushukuru sana kwa kutuchagua sisi kuwa chanzo chako kikuu cha habari. Tunaomba ufahamu kwamba, kamwe, hatuchukulii poa uamuzi wako huo!

“Wafu wetu kamwe hawawi wafu kwetu mpaka pale tunapokuwa tumewasahau.”

Utunzi wa ilani ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unakusudia kutoa dira na muelekeo wa pamoja, kama chama, kuhusiana na vijiji na mitaa tunayotaka kuijenga.

Mabadiliko hayo yanaihusu Benki ya Acess iliyonunuliwa na Selcom. BancABC itabwadilishwa jina na kuwa Access Bank, baada ya kununuliwa na Benki ya Nigeria. Kilimanjaro Co-operative na Tandahimba Co-operative zinaungana na kuunda Co-operative Bank of Tanzania Limited

Kauli ya mtoto wa mwanasiasa huyo kwa Kiongozi Mkuu wa nchi inakuja takriban miezi miwili tangu kuripotiwa kwa taarifa za kutekwa na kuuwawa kwa mzazi wake.

Serikali inasema inafanya kila linalowezekana kurekebisha hali hiyo, lakini inakiri kwamba bila ushiriki wa jamii na familia, juhudi hizo zinaweza kushindwa kufanikisha malengo yake.

Kitabu cha Paulo Freire, Pedagogy of the Oppressed, kinaweza kutusaidia kulifahamu tatizo linalotukabili kama Watanzania, na namna ya kulitatua.

Mawakili wasema hata kama kampuni hiyo ilishauzwa, Lissu anaweza kuishtaki na akashinda kutokana na ushahidi atakaouwasilisha.

Jumatano ya Septemba 4, 2024, ACT Wazalendo tunafurahi na kuenzi maisha ya kisiasa na uongozi ya Juma Duni Haji, kiongozi wetu aliyetuvusha kwenye mapito mengi.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved