Uhusiano wa Kenya na Tanzania: Kwa Nini Utani ni Muhimu Katika Kujenga Ujirani Mwema?
Ukiondoa utani na mzaha, kusema ukweli Tanzania na Kenya ni zaidi ya majirani, wakitegemeana sana kwenye masuala ya uchumi na biashara na hata utamaduni.
Ukiondoa utani na mzaha, kusema ukweli Tanzania na Kenya ni zaidi ya majirani, wakitegemeana sana kwenye masuala ya uchumi na biashara na hata utamaduni.
Theresia Dismas aliipatia Tanzania Medali ya Fedha kwenye michuano ya kwanza ya Afrika, au The Inaugural All Africa Games, iliyorindima huko Jamhuri ya Congo, au Congo-Brazzaville, mnamo mwaka 1965.
Kufuta mashitaka na kumkamata mtuhumiwa papo kwa papo, na baadaye kumshitaki upya kwa kosa lilelile, chini ya mamlaka ya kipekee na yasiyohojiwa, kumepelekea kesi za jinai kuchukua muda mrefu zaidi kukamilika.
Ni muhimu kwa Msajili wa Vyama vya Michezo kuitisha upya katiba na kanuni za uchaguzi za TFF, kuzitathmini na kuagiza marekebisho pale inapobidi.
Wadau mbalimbali waliotoa mapendekezo yao kuboresha miswada hiyo wamehisi kudharauliwa, wakimtaka Rais Samia asikubali kutia doa mchakato wa mageuzi aliouasisi kwa kusaini miswada hiyo kuwa sheria.
Heshima iliyopo kati ya Ida na Gurnah ni zaidi ya ile itokanayo na umri au asili; ni heshima itokanayo na kuikubali kazi ya fasihi ambayo kila mmoja ameonesha kuwa nguli.
On the list are President Mwinyi, President Samia, Freeman Mbowe, Zitto Kabwe, Prime Minister Majaliwa, Jokate Mwegelo, Tundu Lissu, Othman Masoud, January Makamba, and Queen Sendiga.
Sidhani katika hali ya kawaida Dkt. Mpango angeacha kutoa pole au kusafiri hadi Hanang kuwapa pole waathirika wa maafa.
It includes ensuring integration and allowing interoperability of government systems to improve their functionalities.
Marekebisho haya ya Katiba yaliondoa baadhi ya misingi ya kidemokrasia ambayo kwa sasa ndiyo inapigiwa chapuo iweze kurejeshwa.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved