Pengine ni Kweli Polisi Hawahusiki na Utekaji. Lakini Mbona Hatuoni Watekaji Wakikamatwa?
Katika mazingira ambapo hakuna mtu hata mmoja aliyetiwa nguvuni mpaka sasa kutokana na vitendo hivyo, tunaanzaje kuacha kuwawajibisha polisi, tunaoaminishwa kwamba wapo kwa ajili ya usalama wetu?