
Tunawaandaje Mabinti Zetu kwa Ajili ya Hedhi Yao ya Kwanza?
Familia zetu zinapoongea kwa uwazi na bila kejeli kuhusu hedhi, tunavunja ukimya na unyanyapaa unaozunguka afya ya uzazi katika jamii zetu.

Familia zetu zinapoongea kwa uwazi na bila kejeli kuhusu hedhi, tunavunja ukimya na unyanyapaa unaozunguka afya ya uzazi katika jamii zetu.

The truth is, submission has never been about women’s nature; it’s about the patriarch’s desire for control.

Ujenzi wa kituo cha tiba ya saratani katika Hospital ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma itawezesha kuhudumia wananchi milioni 14 waliokuwa wanalazimika kwenda umbali mrefu zaidi kufuata huduma hizo.

Wananchi hao kutoka katika vitongoji vya Mpakani B na Kwedigongo kijijini hapo Pongwe-Kiona, wanasema kuwa mchakato wa kuhamishwa ulianza mwaka 2021 walipofanya mazungumzo na watu wa Jeshi, ambapo tangu mwaka 2022 walistahili kulipwa fidia kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze.

In our briefing today:
Tanzania Announces Two-Month Arms Amnesty Starting September 2025;
Tanzania Delegation Visits Rwanda for Gender-Responsive Budgeting Exchange Program;
Tanzanian Police Refute Claims of Container Full of Heavy Weapons Entering the Country Illegally;
Tanzania’s Main Opposition Party CHADEMA Declares “Democracy Heroes Week,” Culminating on September 7.

The mission aims to provide Tanzanian officials with insights and practical lessons that can be applied to scale up GRB initiatives at home.

Following a widespread discussion on social media regarding the claim, the Police urged Tanzanians not to share such claims, stressing that doing so constitutes a criminal offense.

Bendera za chama hicho zitapepea nusu mlingoti nchi nzima kuwakumbuka wanachama wao na wapigania demokrasia waliofungwa, kutekwa, kupotezwa na hata kuuwawa Tanzania

Hadi kufikia tarehe 31 Agosti 2025, Tume ilipokea jumla ya rufaa 33, ambapo rufaa 13 zimefanyiwa maamuzi. Kati ya hizo, rufaa 8 zilihusu nafasi za ubunge na rufaa 5 zilihusu nafasi za udiwani.

In our briefing:
Tanzania, Zimbabwe Pledge Stronger Economic Ties and United Front on Global Stage;
CHADEMA Youth Leader Arrest Sparks Abduction Fears – Police Clarify Detention;
General Election Campaigns: More Parties Launch Presidential Rallies Over the Weekend;
Op-Ed: Tanzania’s 2025 General Election: The Curtain Rises, But Where Is the Contest?
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved