
Why Samia Needs to Talk More to the People
Presidents who did the task of the Explainer-In-Chief unsatisfactorily lived to regret it.

Presidents who did the task of the Explainer-In-Chief unsatisfactorily lived to regret it.

ACT-Wazalendo yataka uwazi uongezeke ndani ya Serikali na Bunge lifanye kazi yake ya kuisimamia Serikali vizuri kama njia ya kuzuia ubadhirifu ndani ya Serikali usitokee.

Voting in support of Russia – even by abstaining – is a vote for regression and oppression rather than liberation.

Mjumbe huyo wa zamani wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar anasema mchakato wa kudai Katiba Mpya unaweza kwenda sambamba na ule wa kudai mageuzi madogo kwenye mfumo wa usimamizi wa uchaguzi nchini, na kwamba si suala la kipi kitangulie kipi, huku akidai hiki ndiyo chama chake cha ACT-Wazalendo kinachomaanisha kwa kauli mbiu yake ya Tume Huru Kuelekea Katiba Mpya.

Wakati tatizo la upatikanaji wa taarifa ni kubwa sana nchini Tanzania, tatizo hilo ni kubwa zaidi kwa waandishi wa habari wa vyombo vya habari vya mitandaoni ambao kutokana na kasumba inayozikumba baadhi ya taasisi hawaonekani kama ni waandishi wa habari.

The song comes amidst calls from Western governments for Africa to join the movement of condemning the Russian invasion of Ukraine.

Je, mbinu ya mazungumzo ambayo CHADEMA imesema inaiongeza kwenye orodha yake ya mbinu itakazotumia kudai Katiba Mpya itawezesha upatikanaji wa nyaraka hiyo muhimu kabla ya mwaka 2025?

Katika makala hii, Mbunge wa Ubungo (CCM) Profesa Kitila Mkumbo anarejea mchango wa Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania kwa kuainisha pale Magufuli alipoikuta Tanzania na alipoiacha wakati anafariki, na hivyo kujenga msingi wa kuelewa Tanzania inapoelekea chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kiongozi huyo wa upinzani ameendelea kusisitiza msimamo wa chama chake wa kutanguliza mapambano ya Tume Huru ya Uchaguzi akisema taasisi hiyo ni muhimu kwa sasa ili mapambano ya kudai mabadiliko mengine makubwa kama vile Katiba Mpya yaweze kufanikiwa.

Tanzania should initiate a bill for the enactment of a Freedom of Association Law that would repeal and replace the NGOs Act No. 24 of 2002 and govern the free operations of voluntary organizations, groups, entities and activities.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved