The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Tag: politics

Hata Dikteta Teodoro Obiang Hafanyi Vitimbi Kama Tanzania

Nimekuwa nikizifuatilia kwa ukaribu mkubwa chaguzi za nchi nyingi za Kiafrika tangu mfumo wa siasa za vyama vingi urejelewe Afrika. Mara mbili nilikuwa mmoja wa waangalizi rasmi katika chaguzi kuu za Equatorial Guinea kwa niaba ya taasisi iitwayo Taasisi ya Mikikati ya Kidemokrasia (au the Institute for Democratic Strategies) yenye makao yake makuu nchini Marekani.