
Jinsi Sakata la Viti Maalumu Linavyoiweka Chadema Katika Njia Panda
Jumapili ya Novemba 8, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitoa taarifa kuwa vyama vyenye sifa ya kupata ubunge wa viti maalumu ni chama

Jumapili ya Novemba 8, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitoa taarifa kuwa vyama vyenye sifa ya kupata ubunge wa viti maalumu ni chama

Jamii yetu imejikita kuangalia viongozi kama watoa dira, kiasi cha hata kusahau au kupuuza kwamba hao viongozi nao ni sehemu ya jamii.

Jumla ya wapiga kura milioni 29.19 wamejiandikisha kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Je, watajitokeza kufanya hivyo ifikapo Octoba 28?

Mahusiano ya mataifa ya Afrika Mashariki yako katika sura ya mchafukoge na kizungumkuti. Kila nchi imejiundia hasimu wake. Hakuna mgogoro unapatiwa ufumbuzi wa kudumu.

Kilicho cha muhimu ni kuhakikisha kuwa wananchi kupitia vyombo vyao vya kidemokrasia wanakuwa na mamlaka ya kujiamulia na kujisimamia katika shughuli zao za kujiletea maendeleo.

Dar es Salaam. Tanzanians on the digital platform Twitter have rallied against what they see as the Office of Party Registrar’s ‘double-standards’ on the issue of inter-party cooperation.

Dr Wilson Charles Mahera, the Director of Election at the National Electoral Commission (NEC), is trending on social media once again. The netizens have flooded the online platforms with videos, showing the then Arusha District Executive Director’s affiliations with the ruling party Chama cha Mapinduzi (CCM).

CHADEMA sees reforms in mining and energy as important ingredients for transforming Tanzania.

Nimekuwa nikizifuatilia kwa ukaribu mkubwa chaguzi za nchi nyingi za Kiafrika tangu mfumo wa siasa za vyama vingi urejelewe Afrika. Mara mbili nilikuwa mmoja wa waangalizi rasmi katika chaguzi kuu za Equatorial Guinea kwa niaba ya taasisi iitwayo Taasisi ya Mikikati ya Kidemokrasia (au the Institute for Democratic Strategies) yenye makao yake makuu nchini Marekani.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved