The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Tag: politics

Serikali za Majimbo na Ajenda ya Utaifa

Kilicho cha muhimu ni kuhakikisha kuwa wananchi kupitia vyombo vyao vya kidemokrasia wanakuwa na mamlaka ya kujiamulia na kujisimamia katika shughuli zao za kujiletea maendeleo.

Why is NEC’s Director of Elections on the Spotlight – Again?

Dr Wilson Charles Mahera, the Director of Election at the National Electoral Commission (NEC), is trending on social media once again. The netizens have flooded the online platforms with videos, showing the then Arusha District Executive Director’s affiliations with the ruling party Chama cha Mapinduzi (CCM).

Hata Dikteta Teodoro Obiang Hafanyi Vitimbi Kama Tanzania

Nimekuwa nikizifuatilia kwa ukaribu mkubwa chaguzi za nchi nyingi za Kiafrika tangu mfumo wa siasa za vyama vingi urejelewe Afrika. Mara mbili nilikuwa mmoja wa waangalizi rasmi katika chaguzi kuu za Equatorial Guinea kwa niaba ya taasisi iitwayo Taasisi ya Mikikati ya Kidemokrasia (au the Institute for Democratic Strategies) yenye makao yake makuu nchini Marekani.

×