
Uchaguzi Mkuu 2025: Fursa ya Kubadili Maisha ya Vijana Tanzania
Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni zaidi ya tukio la kisiasa; ni fursa ya kuandika upya historia ya taifa.

Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni zaidi ya tukio la kisiasa; ni fursa ya kuandika upya historia ya taifa.

Using the war plans analogy, police assured the president and Tanzanians of preparedness ahead of the Election

Polisi wameeleza kuwa tayari wameweka mikakati ya kujiandaa na uchaguzi na kuhakikisha serikali inaingia madarakani bila kikwazo chochote

It has instructed all members who received invitations to participate in election planning activities to abstain from participation.

The lineup includes CCM’s Samia Suluhu Hassan, making her debut as a principal presidential candidate, alongside contenders from NRA, AAFP, NLD, Chama Makini and United Peoples’ Democratic Party (UPDP).

Party response comes amid debate spearheaded by party dissenters

Wagombea waliokabidhiwa fomu ni pamoja na Hassan Kisabya Almas wa chama cha National Reconstruction Alliance (NRA) aliyefika pamoja na mgombea mwenza Hamis Ali Hassan.Wagombea wengine waliokabidhiwa fomu ni Kunje Ngombare Mwiru wa chama cha Alliance for Africa Farmers Party (AAFP), aliyefika pamoja na mgombea mwenza Chumu Abdallah Juma.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Rais Samia, aliyeingia madarakani hapo Machi 19, 2021, kushiriki kwenye kinyang’anyiro cha Urais kama mgombea kwani mara zote alizoshiriki – alifanya hivyo akiwa mgombea mwenza wa hayati Rais Magufuli.

Mwalimu’s nomination as CHAUMMA’s presidential candidate is expected to quell speculation that the party might front Freeman Mbowe, whose recent political silence had sparked rumors.

Kati ya wajumbe 357 waliohudhuria mkutano huo waliopiga kura walikuwa 340 ambapo Mwalimu alipata kura 336 za ndio na kura 4 za hapana. Huku Devotha Minja yeye alipata kura 335 za ndio huku kura za hapana zikiwa 6.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved