
CHADEMA Warns Members Against 2025 Election Participation, Upholds ‘No Reforms, No Election’ Stance
It has instructed all members who received invitations to participate in election planning activities to abstain from participation.

It has instructed all members who received invitations to participate in election planning activities to abstain from participation.

The lineup includes CCM’s Samia Suluhu Hassan, making her debut as a principal presidential candidate, alongside contenders from NRA, AAFP, NLD, Chama Makini and United Peoples’ Democratic Party (UPDP).

Party response comes amid debate spearheaded by party dissenters

Wagombea waliokabidhiwa fomu ni pamoja na Hassan Kisabya Almas wa chama cha National Reconstruction Alliance (NRA) aliyefika pamoja na mgombea mwenza Hamis Ali Hassan.Wagombea wengine waliokabidhiwa fomu ni Kunje Ngombare Mwiru wa chama cha Alliance for Africa Farmers Party (AAFP), aliyefika pamoja na mgombea mwenza Chumu Abdallah Juma.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Rais Samia, aliyeingia madarakani hapo Machi 19, 2021, kushiriki kwenye kinyang’anyiro cha Urais kama mgombea kwani mara zote alizoshiriki – alifanya hivyo akiwa mgombea mwenza wa hayati Rais Magufuli.

Mwalimu’s nomination as CHAUMMA’s presidential candidate is expected to quell speculation that the party might front Freeman Mbowe, whose recent political silence had sparked rumors.

Kati ya wajumbe 357 waliohudhuria mkutano huo waliopiga kura walikuwa 340 ambapo Mwalimu alipata kura 336 za ndio na kura 4 za hapana. Huku Devotha Minja yeye alipata kura 335 za ndio huku kura za hapana zikiwa 6.

The move signals a significant tightening of state control over the digital space ahead of Tanzania’s October 28, 2025 elections—raising concerns over a potential crackdown on dissent and further erosion of civic freedoms.

Amedai kuwa kwa sasa dhana ya ‘No Reforms, No Election’ ya CHADEMA imekosa uhalisia kwani haiwezekani kuzuia uchaguzi ambao upo kikatiba na chama hiko hakina mkakati wowote wa kutekeleza hilo.
The primaries, which took place on Monday, August 4, allowed delegates at the ward and constituency levels to vote in opinion polls aimed at selecting CCM candidates for parliamentary, representative, and local council positions ahead of the upcoming general election.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved