
CCM Yakamilisha kura za Maoni ya Uchaguzi Viti Maalum Makundi Mbalimbali, Kivumbi Majimboni Leo
Katika mchakato huu imeshuhudiwa wabunge wawili wa sasa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakibwaga na wajumbe kwenye kura zilizopigwa.

Katika mchakato huu imeshuhudiwa wabunge wawili wa sasa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakibwaga na wajumbe kwenye kura zilizopigwa.

Resident Magistrate Franco Kiswaga of the Kisutu Resident Magistrate’s Court has once again adjourned Case No. 8607/2025 involving the Republic versus CHADEMA Chairman Tundu Lissu, pushing the next hearing to August 13, 2025.

Maridhiano was never meant to be a one-time fix, but a continuous process — a culture of political maturity, mutual respect, and shared responsibility.

Makamba amekanusha madai hayo alipoulizwa na waandishi wa habari waliopiga kambi ofisini kwake jijini Dar es Salaam kutaka kupata maoni yake baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM(NEC) Taifa, kilichoketi Julai 28, 2025 kutomteua kwenye kinyang’anyiro cha ubunge ndani ya CCM jimboni kwake Bumbuli, wilaya ya Lushoto mkoani Tanga.

Hii ni kauli ya huzuni, lakini pia ya hekima. Inaakisi ukweli kwamba mchujo ndani ya CCM si wa kawaida.

Speaking on behalf of CHADEMA, the party’s Director of Training and Organization, John Pambalu, stated that the number of registered voters released by INEC exceeds the number of people aged 14 and above reported in the 2022 census.

The group, which declared their intention to contest parliamentary and special seats in the 2025 general elections under the CCM banner, will now proceed to the next stage of the party’s nomination process — the internal primaries.

Some of the high-profile names dropped were considered to have stronger political influence in their constituencies compared to those who advanced to the primaries.

Wabunge zaidi ya 40 ambao wako Bungeni kwa sasa hawataonekana katika kura za maoni ya chama hicho, baadhi ya majina yaliyokumbwa na panga hilo yameendelea kuzua gumzo kubwa mitandaoni.

Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa(NEC) ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ametoa orodha ya majina ya wana CCM waliopita kwenye mchujo wa Kamati Kuu kwa ajili ya kwenda kupigiwa kura za maoni majimboni kwenye mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishhi wa chama hiko kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved