
Majaliwa Kukosa Kushiriki Kikao cha Uteuzi Watia Nia CCM Akianza Ziara Grenada
Majaliwa hakuweza kushiriki Mkitano Mikuu miwili ya CCM kutokana na ziara za kikazi

Majaliwa hakuweza kushiriki Mkitano Mikuu miwili ya CCM kutokana na ziara za kikazi

The number exceeds the population of Tanzanians aged 14 and above recorded in the national census conducted on August 23, 2022.

Akiongea mnamo Julai 26, 2025, Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kupiga kura.

Zoezi la utoaji fomu litakuwa kati ya Agosti 14, 2025 hadi Agosti 27, 2025 na Agosti 28, 2025, kipenga cha kampeni kikipulizwa.

The key change allows the party’s Central Committee of the National Executive Council(NEC) to select more than three names of aspiring parliamentary and Zanzibar House of Representatives candidates for internal party primaries.

Mabadiliko haya yanakuwa nyongeza ya mabadiliko ya mfumo wa uteuzi wagombea wa CCM wa nafasi za dola yaliyofanywa katika mkutano mkuu wa mwezi Mei, 2025 uliofanyika jijini Dodoma.

This marks the third congress held this year, making it a historic record for the party

Hatua hii inaifanya CCM kuweka rekodi kwa kufanya Mkutano Mkuu wake mara tatu katika mwaka wa uchaguzi katika historia nzima ya uwepo wake.

Butiku alitupa lawama kwa Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Jakaya Kikwete kwa kueleza kuwa ushauri wake ulisababisha makosa ya kiutaratibu.

Butiku argued the procedures were flawed, but the decision remains legitimate
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved