When Opposition Turns on Itself, Who Wins?
When the opposition becomes consumed by infighting, it risks alienating the very people it claims to fight for.
When the opposition becomes consumed by infighting, it risks alienating the very people it claims to fight for.

Kikao hiko ambacho kitaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan kitatanguliwa na kikao cha sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM inayoendelea kuketi jijini Dodoma kuendelea na mchakato wa mchuo wa watia nia ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya ajenda za kikao cha Kamati Kuu.

Katika maamuzi yake Mahakama ilieleza kuwa waleta maombi hawajaweza kuishawishi Mahakama kuwa wana msalahi ya kutosha katika kanuni hizo, Mahakama ikieleza kuwa waleta maombi ni majirani tu na sio wenye haki ya kushitaki dhidi ya kanuni.

In its ruling, the court argued that the applicants have not been able to convince the Court as to how they are sufficiently interested, citing that they are mere neighbors, and not the owners of the right to sue.

“ Kwa utaratibu wetu na mchakato ndani ya Chama cha Mapinduzi mpaka sasa hakuna mtu aliyeenguliwa au kukatwa kama ambavyo inaripotiwa katika vyombo vya habari,”

He says he can no longer be part of an administration that “lacks motivation and adherence to the principles of the country’s constitution and the party, justice, morals, humanity, and accountability to the citizens.”

Uongozi bora haupaswi kuangalia hali ya mtu bali uwezo, maono na dhamira ya kweli ya kuwatumikia wananchi.

Kuna heshima katika kubaki mwaminifu, hata kama hukupita. Kuna thamani kubwa katika kuwa sehemu ya chama kikongwe, hata bila cheo.

The contested Electoral Code of Conduct for the 2025 General Election was signed on April 12, 2025, by the Independent Electoral Commission (INEC), the Government, and 18 political parties. One opposition party, CHADEMA, declined to sign.

Tanzanian government says it has never had, and does not have, any plan to poison anyone in prison, nor does it intend to do so to anyone
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved