
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar: Maadili Kama Mkakati wa Kisiasa
Maadili bila mkakati ni sauti isiyosikika; na mkakati bila maadili ni nguvu hatari kwa taifa.

Maadili bila mkakati ni sauti isiyosikika; na mkakati bila maadili ni nguvu hatari kwa taifa.

Viongozi wa ACT-Wazalendo wanapaswa kulitafakari kwa kina suala hili na kutoruhusu kuendeshwa na hasira na jazba. Hasira, hasara, Waswahili wanaonya.

Hizi hapa sababu nne za kwa nini SUK Zanzibar imefeli na kwa nini ni wakati wa kutafakari mbinu mbadala za ushiriki wa upinzani katika Serikali.

Ismail Jussa, mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, anatolea ufafanuzi wa suala hili na mengineyo mengi kwenye sehemu hii ya kwanza ya mahojiano maalum kati yake na The Chanzo.

Suluhisho sio kujiunga ama kutojiunga kwa ACT-Wazalendo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Suluhisho ni kufanyika kwa mjadala wa kina kuhusu tuhuma za kasoro za kimfumo zinazoibuka kila wakati wa uchaguzi na kuzifanyia kazi.

Jambo muhimu zaidi litakuwa jitihada katika masuala ya haki, mageuzi ya kitaasisi, na utawala bora.

Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeongezeka kutoka Trilioni 2.06 mpaka Trilioni 2.44

Historia inaonesha kwamba hakuna mfumo kandamizi unaoanguka kwa sababu ya malalamiko yaliyotawanyika ya wale wanaokandamizwa.

Rais ameishukuru Tume kwa kukamilisha kazi hiyo muhimu, akibainisha hatua kadhaa Serikali yake inapanga kuchukua kutekeleza mapendekezo yake.

Rais ameishukuru Tume kwa kukamilisha kazi hiyo muhimu, akibainisha hatua kadhaa Serikali yake inapanga kuchukua kutekeleza mapendekezo yake.