
Kahawa ni Zao Lenye Thamani Kubwa Duniani. Lakini Mbona Wakulima wa Tanzania Hawanufaiki?
Faida kubwa ikiendelea kubaki kwenye mikono ya wafanyabiashara wakubwa, wakulima wataendelea kung’oa miti ya kahawa ili wapande migomba, na Serikali haiwezi kuwazuia.

