Kitendo cha CCM kukwepa kuongelea mapungufu yake limekuwa ni moja ya sababu kuu zinazosababishwa na kutokuwepo kwa jitihada za makusudi kurekebisha maeneo mbalimbali yanayolalamikiwa kuhusu chama hicho.
Kitendo cha CCM kukwepa kuongelea mapungufu yake limekuwa ni moja ya sababu kuu zinazosababishwa na kutokuwepo kwa jitihada za makusudi kurekebisha maeneo mbalimbali yanayolalamikiwa kuhusu chama hicho.
ACT-Wazalendo kuwemo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa huko Zanzibar ni moja ya fursa muhimu inayoweza kusaidia ukuaji wa chama hicho. Moja ya changamoto ni je, chama hicho kitafanikiwa kutafsiri mafanikio yaliyopatikana huko Zanzibar na kuyahamishia Tanzania Bara?