The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Ibrahim Mgaza

TRA Yasisitiza Wafanyabiashara wa Mtandaoni Kujisajili Kulipa Kodi

Kwa mujibu wa TRA, aina za biashara zinazohitajika kujisajili ni pamoja na; Wauzaji wa bidhaa kupitia majukwaa ya mtandaoni, Wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs) wanaofanya biashara mtandaoni kupitia masoko ya kidijitali au tovuti zao na wamiliki wa mali binafsi wanaotoa huduma za upangishaji kwa njia ya mtandao.

×