The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Ibrahim Mgaza

Serikali Yatahadharisha Kuhusu Mlipuko wa Magonjwa ya Msimu wa Mvua

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya Februari 25, 2026 kupitia kwa Mganda Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe imeonesha kuwa kumekuwa na ongezeko la wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na UVIKO-19 nchini, hali Serikali imesema ni ya kila mwaka kuanzia kipindi cha Novemba hadi Aprili.

TRA Yasisitiza Wafanyabiashara wa Mtandaoni Kujisajili Kulipa Kodi

Kwa mujibu wa TRA, aina za biashara zinazohitajika kujisajili ni pamoja na; Wauzaji wa bidhaa kupitia majukwaa ya mtandaoni, Wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs) wanaofanya biashara mtandaoni kupitia masoko ya kidijitali au tovuti zao na wamiliki wa mali binafsi wanaotoa huduma za upangishaji kwa njia ya mtandao.

×