
Wasanii wa Tanzania na Matukio ya Okt. 29: Je, Tatizo ni Ukimya wa Wasanii au Sanaa ya Ukimya kwa Maumivu ya Jamii?
Tatizo kubwa zaidi si tu ukimya wa wasanii hivi sasa, bali mwelekeo wa muda mrefu wa maudhui ya sanaa yao ambayo tayari yalikuwa yamejitenga na maisha halisi ya wananchi.

