
Nondo Aibua Utata wa Mikopo ya Vijana, ACT Wazalendo Yalalamikia Idadi Ndogo ya Vijana Walionufaika
Katika maelezo yake, Nondo amesema kati ya vijana 30,384 walioomba mikopo, ni vijana 78 pekee waliopata mikopo hiyo sawa na asilimia 0.30, tofauti na idadi ya wanufaika 1,961 iliyotangazwa na wizara hiyo.
