Dennis Phombeah mmoja kati ya wajumbe 17 walioasisi TANU anatajwa kama shushushu wa kipekee katika ukanda wa Afrika Mashariki wakati huo.
Dennis Phombeah mmoja kati ya wajumbe 17 walioasisi TANU anatajwa kama shushushu wa kipekee katika ukanda wa Afrika Mashariki wakati huo.
The question of self-reliance was key to Nyerere's political and philosophical foundation. Because to him, there is a link between development and freedom and it was impossible for a nation to be dependent on the foreign nations while at the same time maintaining its freedom.
Zaidi ya asilimia 65 ya wafanyakazi wa majumbani hukiri kuwa wanapitia unyanyasaji wa kingono, kudhihakiwa, kufanyiwa mashambulio ya aibu, kutokulipwa kwa wakati au kulipwa tofauti na makubaliano au kutokulipwa kabisa.
Dar es Salaam ulikuwa mji wa kipekee miongoni mwa miji iliyokuwa uwanja wa vita baridi duniani kwani vuguvugu la ukombozi dhidi ya ukoloni duniani lilikuwa limebaki na kushika kazi zaidi barani Afrika
Tanzania’s tax system should be progressive enough to enable high-profit makers in the economy to pay more taxes than low-income earners and start-ups.
While digital currency such as cryptocurrencies can offer Tanzanians some efficiency by reducing bureaucracy they also have their dark sides like the potential of attracting security challenges from hackers and malicious agents.
Accessibility of essentials for human survival and prospects of humankind -- health care and education respectively -- reveal how inequality among the haves and the have-nots prevail.
Kilicho cha muhimu ni kuhakikisha kuwa wananchi kupitia vyombo vyao vya kidemokrasia wanakuwa na mamlaka ya kujiamulia na kujisimamia katika shughuli zao za kujiletea maendeleo.