The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Joel Ntile

Changamoto na Haki za Wafanyakazi wa Majumbani

Zaidi ya asilimia 65 ya wafanyakazi wa majumbani hukiri kuwa wanapitia unyanyasaji wa kingono, kudhihakiwa, kufanyiwa mashambulio ya aibu, kutokulipwa kwa wakati au kulipwa tofauti na makubaliano au kutokulipwa kabisa.

Serikali za Majimbo na Ajenda ya Utaifa

Kilicho cha muhimu ni kuhakikisha kuwa wananchi kupitia vyombo vyao vya kidemokrasia wanakuwa na mamlaka ya kujiamulia na kujisimamia katika shughuli zao za kujiletea maendeleo.

×