Falsafa yako ya kisiasa imeeleweka, lakini naamini unaweza kuacha urithi zaidi katika uchumi na maendeleo ya Watanzania.
Falsafa yako ya kisiasa imeeleweka, lakini naamini unaweza kuacha urithi zaidi katika uchumi na maendeleo ya Watanzania.
Richard Mbunda Dr Mpango, then Finance Minister, announced to the public in July 2020 that Tanzania is now a lower-middle-income country. But is it true?
Hatutarajii Rais Samia atakuwa na falsafa, maono na dira ile ile ya mtangulizi wake bila kupishana hata kidogo. Hivyo basi, anapaswa kupewa fursa ya kuipanga upya safu yake ya uongozi ili kuendana na dira yake.