Katibu Umoja wa Mataifa Awataja Rwanda Mgogoro wa DRC
Akizungumza na vyombo vya habari mnamo Februari 6,2025, Katibu Mkuu UN, António Guterres, ametoa rai juu ya mkutano unaoanza Tanzania leo Februari 07, 2025
Akizungumza na vyombo vya habari mnamo Februari 6,2025, Katibu Mkuu UN, António Guterres, ametoa rai juu ya mkutano unaoanza Tanzania leo Februari 07, 2025
Maria Sarungi anatajwa kutekwa na watu watatu wenye silaha katika eneo la Chaka
Makada hawa wanawania nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Ujumbe wa Kamati Kuu na uongozi wa mabaraza ya chama hicho.
Danstan Daud Mtajura ni Afisa Mwandamizi wa serikali aliyehusika katika majadiliano mbalimbali katika sekta ya madini
“Wafu wetu kamwe hawawi wafu kwetu mpaka pale tunapokuwa tumewasahau.”
Tunawapongeza kwa huduma zao hizo kwa jamii, na kutumai kwamba kutambuliwa kwao huko kutawahamasisha wengine kubuni mbinu anuwai zitakazowawezesha kuzitumikia vyema jamii zao.
Taarifa hiyo inaeleza zaidi kuwa sababu kubwa ya kuiongeza Air Tanzania kwenye mashirika yaliyozuiwa ni zile za kiusalama wa anga ambazo zimeainishwa na Wakala wa Usalama wa Anga wa Umoja wa Ulaya (EASA).
Hali ya watekaji kupendelea kutumia Landcruiser nyeupe ni hali inayojirudia rudia katika matukio mbalimbali.
Nondo alikuwa akitoka Kigoma alipokuwa kwenye shughuli za chama
Wananchi waliopiga kura siku ya tarehe 27 Novemba, 2024 ni 26,963,182 sawa na asilimia 86.36 ya wananchi waliokuwa na sifa ya kupiga kura.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved