The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Category: Digital Rights

Ushauri Watolewa kwa Wanawake Wajasiriamali Mtandaoni

Mbali na kukumbana na changamoto mbalimbali, wajasiriamali wanaotumia mitandao kufanya shughuli zao ambao The Chanzo imeongea nao walikiri kwamba mitandao ya kijamii imekuwa mkombozi kwao kwani inawasaidia kuendesha maisha yao kiurahisi.

Kilichojificha Nyuma ya Kuvuja kwa Video za Utupu Mitandaoni

Kwa mujibu wa wahanga, video nyingi za utupu zinazosambaa mitandaoni zimevujishwa na kikundi cha wahalifu walioamua kuchukua hatua hiyo baada ya mabinti husika kukataa kutoa fedha ambazo wahalifu hao wamekuwa wakiwaomba ili wasivujishe video hizo za kashfa.

Tanzania in Preparation for It’s Digital Currency

Tanzania’s interest in digital currency was sparked by President Samia Suluhu Hassan on June 13, 2021, when she tasked the Central Bank to study digital currencies and cryptocurrency so as to make sure Tanzania is not left behind in the ongoing revolution in the financial sector.