Malalamiko Zaidi ya 7,000 ya Wananchi Yamfikia Mwinyi Kupitia App ya Sema na Rais
Mfumo huo ambao ulizunduliwa rasmi mnamo Februari 27, 2021, ulilenga kumsogeza Rais Mwinyi karibu zaidi kwa wananchi ili aweze kusikia moja kwa moja kutoka kwao kero zinazowasumbua na hivyo kuzitafutia ufumbuzi wake.