Ushirikishwaji Unahitajika Kupunguza Mivutano Ngorongoro
Tumeona kwenye wanaodaiwa kuwa ni viongozi wa wananchi wa Ngorongoro wapo watu walitambulishwa kama wanatokea Ngorongoro lakini tunajua fika siyo watu wa Ngorongoro.
Tumeona kwenye wanaodaiwa kuwa ni viongozi wa wananchi wa Ngorongoro wapo watu walitambulishwa kama wanatokea Ngorongoro lakini tunajua fika siyo watu wa Ngorongoro.
They want Tanzania to halt plans for the relocation of the people living in Loliondo and the Ngorongoro Conservation Area and begin consultations with the Maasai Indigenous Peoples.
It wants Tanzania to halt the ongoing forcible eviction of the affected Maasai community in the Loliondo division of Ngorongoro district.
On June 10, 2022, Prime Minister Kassim Majaliwa took pains to debunk a video clip and images that had gone viral on social media depicting
It follows heightened tension in Loliondo where police reportedly used live bullets to disperse community members who were protesting eviction
Amidst the beacon erection exercise in Loliondo, Ngorongoro, Minister for Tourism and Natural Resources Pindi Chana said Thursday that the exercise to ‘relocate’ the native people of Ngorongoro to the Msomera village in the Handeni district in Tanga will commence “anytime from now.”
Je, anayeondoka ni kweli ametaka kuondoka au kwa sababu kuna vikwazo vikubwa ambavyo vimewekwa ambavyo mwisho wa siku vinaweza kumfanya yeye na familia yake kuona kwamba njia pekee iliyobaki ni kuondoka?
Tunajivunia kwamba Ngorongoro ni urithi wa dunia lakini hiyo haiondoshi ukweli kwamba kwenye hilo eneo kuna wenyeji wake.
Serikali inaweza kunufaika zaidi endapo kama itawaweka wenyeji karibu badala ya kuwaacha warubuniwe na wanasiasa na wanaharakati.
The youths say their trip aims at encouraging more local tourism in Tanzania.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved