Wananchi Ngorongoro Hatarini Kukosa Huduma Serikali Ikihamishia Miradi Handeni
Hatua hiyo inakuja takriban mwezi mmoja tangu Serikali itangaze kutengwa kwa eneo maalum wilayani Handeni kwa ajili ya wananchi wa Ngorongoro watakaokuwa tayari kuhama kutoka kwenye hifadhi ya Ngorongoro kwa hiari.